Ufunuo 19:5
Print
Sauti ikatoka kwenye kiti cha enzi na kusema: “Msifuni Mungu wetu, ninyi nyote mnaomtumikia! Msifuni Mungu wetu, ninyi nyote mlio wadogo na wakubwa mnaomheshimu!”
Na sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, “Msi funi Mungu wetu ninyi watumishi wake wote, nyote mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.”
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) Copyright © 2017 by Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica